Mimi ni kijana wa miaka 30, ninaishi na kufanya kazi Nairobi Kenya. Natafuta mchumba awe na sifa zifuatazo:
1. Umri kuanzia miaka 22 hadi 24.
2. Awe mkristo.
3. Awe na utayari wa kuolewa na kuishi Nairobi.
Vipaumbele vifuatavyo vitazingatiwa:
1. Awe ni mchaga kwa kabila.
2. Mweupe au maji ya kunde.
3. Bikra.