Natafuta mchumba baadae mume

Natafuta mchumba baadae mume

UCHOKOZI

Member
Joined
Jan 25, 2014
Posts
6
Reaction score
4
Mimi ni msichana,

Nina miaka 27, mkristo(RC),

Nimeajiriwa

Nina umbo la wastani,rangi(maji ya kunde)

Makazi yangu ni Dar es Salaam

Elimu- Diploma ya Finance

Nina mtoto mmoja

Sifa:

Awe na umri kati ya 30-40

Awe mkristo

Awe ameajiriwa/amejiajiri

Mwenye hofu ya Mungu

Kama ana mtoto asizidi mmoja

Hardworker,na anajiheshimu na kujithamini pia

Elimu kuanzia form six na kuendelea

Asiwe mfupi sana

Tuwasiliane kwa pm;
NB;Haina haja yakuandika kashfa au matusi kama huitaji mtu mwenye mtoto kaa kimya
 
Hili tangazo ni kwahisani ya watu wa Marekanii. tabu ya kuzaa kabra ya wakati. Umekosea sana wewe si msichana tena, wewe ni mwanamke
 
Mimi ni msichana
Nina miaka 27, mkristo(RC),
Nimeajiriwa
Nina umbo la wastani,rangi(maji ya kunde)
Makazi yangu ni dar
Elimu- Diploma ya Finance
Nna mtoto mmoja
Sifa:
Awe na umri kati ya 30-40
Awe mkristo
Awe ameajiriwa/amejiajiri
Mwenye hofu ya Mungu
Kama ana mtoto asizidi mmoja
Hardworker,na anajiheshimu na kujithamini pia
Elimu kuanzia form six na kuendelea
Asiwe mfupi sana

Tuwasiliane kwa pm;
NB;Haina haja yakuandika kashfa au matusi kama huitaji mtu mwenye mtoto kaa kimya

Mmmmmh!! me nahisi umeamua tu "kutuchokoza" wanaume, wala ata haupo serious wewe.
 
Mimi ni msichana
Nina miaka 27, mkristo(RC),
Nimeajiriwa
Nina umbo la wastani,rangi(maji ya kunde)
Makazi yangu ni dar
Elimu- Diploma ya Finance
Nna mtoto mmoja
Sifa:
Awe na umri kati ya 30-40
Awe mkristo
Awe ameajiriwa/amejiajiri
Mwenye hofu ya Mungu
Kama ana mtoto asizidi mmoja
Hardworker,na anajiheshimu na kujithamini pia
Elimu kuanzia form six na kuendelea
Asiwe mfupi sana

Tuwasiliane kwa pm;
NB;Haina haja yakuandika kashfa au matusi kama huitaji mtu mwenye mtoto kaa kimya

Loh, ufupi huu jamani unanikosesha mke hivihivi!
 
Mimi ni msichana
Nina miaka 27, mkristo(RC),
Nimeajiriwa
Nina umbo la wastani,rangi(maji ya kunde)
Makazi yangu ni dar
Elimu- Diploma ya Finance
Nna mtoto mmoja
Sifa:
Awe na umri kati ya 30-40
Awe mkristo
Awe ameajiriwa/amejiajiri
Mwenye hofu ya Mungu
Kama ana mtoto asizidi mmoja
Hardworker,na anajiheshimu na kujithamini pia
Elimu kuanzia form six na kuendelea
Asiwe mfupi sana

Tuwasiliane kwa pm;
NB;Haina haja yakuandika kashfa au matusi kama huitaji mtu mwenye mtoto kaa kimya

bado hujampata tu
mi nataka kupindua izo sifa maana kuna baadhi sinazo
 
Mimi ni msichana
Nina miaka 27, mkristo(RC),
Nimeajiriwa
Nina umbo la wastani,rangi(maji ya kunde)
Makazi yangu ni dar
Elimu- Diploma ya Finance
Nna mtoto mmoja
Sifa:
Awe na umri kati ya 30-40
Awe mkristo
Awe ameajiriwa/amejiajiri
Mwenye hofu ya Mungu
Kama ana mtoto asizidi mmoja
Hardworker,na anajiheshimu na kujithamini pia
Elimu kuanzia form six na kuendelea
Asiwe mfupi sana

Tuwasiliane kwa pm;
NB;Haina haja yakuandika kashfa au matusi kama huitaji mtu mwenye mtoto kaa kimya

wewe ni huyu???

https://www.jamiiforums.com/love-connect/694559-ninahitaji-mchumba-wa-kiume.html
 
Tafuta Raizon Mkuu unaweza kuongezeka japo kidogo ukatoka kwenye kundi la wafupi na kuingia kwenye kundi la warefu.

Loh, ufupi huu jamani unanikosesha mke hivihivi!
 
Kwa sisi wakristo tunaamini mke mwema hutoka kwa bwana!! bwana atakupa katika wakati anaoona unafaa... ni swala la kuomba na kiwa na imani tu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom