Habarini ndugu zangu mimi ni kijana, nina umri wa miaka 27, natafuta mchumba anaye endana na mimi, awe mweupe, mrefu wastani, mzuri, mwembamba ila sio sana, lile umbo la kuvalia nguo. mimi ni mweusi japo sio sana, mcheshi, smart, na mrefu. Nimejitahidi kutafuta najikuta naangukia kwa wasichana ambao sio chaguo la moyo wangu hasahsa maji ya kunde na weusi kama mimi. Napenda sana wanawake weupe, hiyo ni kutokana na jinsi familia yangu ilivyo, wote weupe kasoro mimi tu, japo sura na vingine vingi tumefanana.
Ahsanteni