Natafuta mchumba atakae kuwa mke wangu

Natafuta mchumba atakae kuwa mke wangu

lauzi96

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2014
Posts
422
Reaction score
805
Mimi ni kijana wa kitanzania umri wangu miaka 28 elimu yangu diploma nimeajiliwa, ninahitaji msichana mwenye elimu kuanzia diploma kuendelea awe anaishi Dar.

Awe ameajiliwa au kujiajili umri ilimradi asinipite anaweza kuwa miaka 27 kushuka chini awe muslim, sina mtoto wala sijawahi kuoa na msichana awe hana mtoto ndo tuanze maisha, kama na ww unatafuta mwenza ni pm tuongee vizuri.
 
Mchumba ulishaanza maisha au ndo tutaanza pamoja?
i mean tuanze wote kununua kijiko hatimaye gari na kujenga wote gorofa?
 
Mimi ni kijana wa kitanzania umri wangu miaka 28 elimu yangu diploma nimeajiliwa, ninahitaji msichana mwenye elimu kuanzia diploma kuendelea awe anaishi Dar.

Awe ameajiliwa au kujiajili umri ilimradi asinipite anaweza kuwa miaka 27 kushuka chini awe muslim, sina mtoto wala sijawahi kuoa na msichana awe hana mtoto ndo tuanze maisha, kama na ww unatafuta mwenza ni pm tuongee vizuri.

Nenda shule wewe bwamdogo wacha mawazo duni hiyo elimu hata ujinga haijakutoa una taka kuowa maybe uwolewe
 
Unadiploma ya nin sasa ya ualimu,upishi,sheria,au kukata mauno?
 
Mimi ni kijana wa kitanzania umri wangu miaka 28 elimu yangu diploma nimeajiliwa, ninahitaji msichana mwenye elimu kuanzia diploma kuendelea awe anaishi Dar.

Awe ameajiliwa au kujiajili umri ilimradi asinipite anaweza kuwa miaka 27 kushuka chini awe muslim, sina mtoto wala sijawahi kuoa na msichana awe hana mtoto ndo tuanze maisha, kama na ww unatafuta mwenza ni pm tuongee vizuri.

Mi na mtoto wa miaka10 ila nashida na mume ni pm tuongee
 
High school diploma is not enough.Why can't you go catch fish kuliko mambo ya harusi

Hahahaaa, kazi ipo kweli! Hata shahada ya uzamivu bado haitoshi, kama unadhani hiyo ndiyo elimu. Maisha yamejaa mipango na chaguzi binafsi za muhimu sana, kila mtu ana jinsi tofauti ya uchaguzi, mipango na vipaumbele. Kwa mwingine akimaliza stashahada na kuajiriwa anaona ni vyema aoe kwanza ili aanze kulea watoto akiwa bado na nguvu, akishaoa anaweza kurejea kutafuta shahada akiwa na familia tayari, au anaweza hata asiwe na mpango wa kujiendeleza akaona kuna upenyo mzuri zaidi wa kutokea, inaweza kuwa kwenye kilimo, ufugaji, biashara nk, yote hiyo ni mipangoya mtu binafsi ambayo si lazima atuambia. Na wewe pia una mipango yako mizito, huenda unapanga ukimaliza hiyo shahada unayosoma uunganishe shahada ya uzamili nk, kutoka huko ndiyo uanze kutafuta kazi, kama yule ndugu yetu kule jukwaa la kazi amemaliza shahada ya uzamivu mwaka wa pili sasa bado anaishi kwa wazazi na anategemea tips kutoka kwa jamaa zake aliowaacha nyuma, akipata kazi ndiyo atafute mke na kuowa, mtoto wa kwanza akimaliza darasa la saba baba keshastaafu! Yote ni mipango tu, hakuna mtu wa kumpangia mwenzake, mwisho wa siku maisha ndiyo yanaamua nani alicheza karata zake kwa usahihi.
 
Hahahaaa, kazi ipo kweli! Hata shahada ya uzamivu bado haitoshi, kama unadhani hiyo ndiyo elimu. Maisha yamejaa mipango na chaguzi binafsi za muhimu sana, kila mtu ana jinsi tofauti ya uchaguzi, mipango na vipaumbele. Kwa mwingine akimaliza stashahada na kuajiriwa anaona ni vyema aoe kwanza ili aanze kulea watoto akiwa bado na nguvu, akishaoa anaweza kurejea kutafuta shahada akiwa na familia tayari, au anaweza hata asiwe na mpango wa kujiendeleza akaona kuna upenyo mzuri zaidi wa kutokea, inaweza kuwa kwenye kilimo, ufugaji, biashara nk, yote hiyo ni mipangoya mtu binafsi ambayo si lazima atuambia. Na wewe pia una mipango yako mizito, huenda unapanga ukimaliza hiyo shahada unayosoma uunganishe shahada ya uzamili nk, kutoka huko ndiyo uanze kutafuta kazi, kama yule ndugu yetu kule jukwaa la kazi amemaliza shahada ya uzamivu mwaka wa pili sasa bado anaishi kwa wazazi na anategemea tips kutoka kwa jamaa zake aliowaacha nyuma, akipata kazi ndiyo atafute mke na kuowa, mtoto wa kwanza akimaliza darasa la saba baba keshastaafu! Yote ni mipango tu, hakuna mtu wa kumpangia mwenzake, mwisho wa siku maisha ndiyo yanaamua nani alicheza karata zake kwa usahihi.

Wewe unawapotosha wezako elimu kwanza
 
mwee!vigezo vyingne ninavyo ila ndo nina mtoto wa miaka 3!
 
nenda shule wewe bwamdogo wacha mawazo duni hiyo elimu hata ujinga haijakutoa una taka kuowa maybe uwolewe
wewe uliyeenda shule unafanya shughuli gani?mimi nnafanyakazi huku nnasoma kwa kua sijamaliza ndio maana nnajihesabia bado diploma lakini nnavaa johoo muda siyo mrefu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom