Jenseny
JF-Expert Member
- Jan 26, 2011
- 1,743
- 1,732
Nina biashara mbili moja naifanya, hii ya pili bado nipo kwenye utafiti.
NINAHITAJI PATNER
Kwenye biashara ya pooltable ninalo moja kila siku linaniingizia 7000 (ndo hesabu nilompa kijana )ila hapo nilipoliweka yanahitajika mengine matatu ili yawe manne nipunguze ugomvi wa wateja kugombania nani acheze.
Usalama
Mimi ni mfanyakazi wa serikali na mahali lilipo ndo nyumbani kwetu though lipo stand ya magari.
Mtaji
Poooltable jipya kulinunua na kulisafirisha ni kama 1.6
Kipato
Kwa kila siku unaweza kuingiza 15000 kwa kila moja kama utasimamia mwenyewe au utamwajiri kijana.
Kwanini nahitaji mbia?
Kuna uhitaji mkubwa wa pools mpya
Mawasiliano 0658825141
NINAHITAJI PATNER
Kwenye biashara ya pooltable ninalo moja kila siku linaniingizia 7000 (ndo hesabu nilompa kijana )ila hapo nilipoliweka yanahitajika mengine matatu ili yawe manne nipunguze ugomvi wa wateja kugombania nani acheze.
Usalama
Mimi ni mfanyakazi wa serikali na mahali lilipo ndo nyumbani kwetu though lipo stand ya magari.
Mtaji
Poooltable jipya kulinunua na kulisafirisha ni kama 1.6
Kipato
Kwa kila siku unaweza kuingiza 15000 kwa kila moja kama utasimamia mwenyewe au utamwajiri kijana.
Kwanini nahitaji mbia?
Kuna uhitaji mkubwa wa pools mpya
Mawasiliano 0658825141