@Eiqutable nitanunua kwa elfu 15 kwa trei moja, lakini ni fertile. Yanatakiwa yale ambayo mtu amekusanya kwenye shamba lake, sio kuokoteza yaliyopita muda. Hayana ubora
@Eiqutable nitanunua kwa elfu 15 kwa trei moja, lakini ni fertile. Yanatakiwa yale ambayo mtu amekusanya kwenye shamba lake, sio kuokoteza yaliyopita muda. Hayana ubora