Kigorohe
Senior Member
- May 21, 2019
- 160
- 253
Habari zenu wana JF!
Natafuta wafugaji wa kuku wa mayai ili wawe wananilanguzia mayai na kwenda kuuzia wauza chips na mahotelini. Naombeni ushirikiano nimeamua nianze upya baada ya kuandika ule uzi wa kuumba msaada bila kupata mafanikio
Nipo Arusha maeneo ya Usa River ila popote ulipo ndani ya Arusha nitakufata. Karibuni
Natafuta wafugaji wa kuku wa mayai ili wawe wananilanguzia mayai na kwenda kuuzia wauza chips na mahotelini. Naombeni ushirikiano nimeamua nianze upya baada ya kuandika ule uzi wa kuumba msaada bila kupata mafanikio
Nipo Arusha maeneo ya Usa River ila popote ulipo ndani ya Arusha nitakufata. Karibuni