[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] subufa ndo nnKwema jamana
Natafuta mashuka ya mtumba 6×6 na subufa ya mtumba iliyo safi kabisa.
Temeke,kwan uko wapNgap ngap uko???
Unatak mashuka mangapiNipo mkoani.
Unataka Music Safi Uburudika Ukiwa Umejifunika ShukaSorry n sabufa.
Kuna mtu namfahamu anauza kuanzia elfu8 hadi elfu15 kwa shuka nikuunge naeBei shs ngap ngap????
Nipo mkoani.
Sasa si useme uko Mkoa gani! Na huko Mkoani uliko hakuna hayo mashuka ya mtumba na hizo sabufa za kununua? Au unataka baadae uje tena na uzi wa kutapeliwa?Sawa, ila mm nipo mkoani.
Kuna mtu namfahamu anauza kuanzia elfu8 hadi elfu15 kwa shuka nikuunge nae