Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,204
- 99,943
Wapendwa, ni wapi nawezapata machine nzuri ya kuoshea magari ambayo pressure yake iko juu na ni durable, sitaki ya mafuta nataka ya umeme. Je kwa hapa Dar nawezaipata wapi? Mpwa CYBERTEQ upo unisaidie na hili pia? Natanguliza shukrani za dhati.
Nenda mlimani cty katika duka la GAME mana nlinunua mashine kwa 165,000T.Shs ya 110Bar which means Pressure ya 110 na nlikuta nyngne ya 140Bar na zote znatumia umeme
Wapendwa, ni wapi nawezapata machine nzuri ya kuoshea magari ambayo pressure yake iko juu na ni durable, sitaki ya mafuta nataka ya umeme. Je kwa hapa Dar nawezaipata wapi? Mpwa CYBERTEQ upo unisaidie na hili pia? Natanguliza shukrani za dhati.
hi! ulipata? sh ngapi?
wapendwa, ni wapi nawezapata machine nzuri ya kuoshea magari ambayo pressure yake iko juu na ni durable, sitaki ya mafuta nataka ya umeme. Je kwa hapa dar nawezaipata wapi? Mpwa cyberteq upo unisaidie na hili pia? Natanguliza shukrani za dhati.
heshima kwako mpwa.
Inategemea unataka ya ukubwa gani kaka, kwa dar utapata game kama alivyosema mdau hapo juu.
Vipi, unataka kuongeza huduma ya kuosha magari pale ofisini kwetu?
nenda mlimani cty katika duka la game mana nlinunua mashine kwa 165,000t.shs ya 110bar which means pressure ya 110 na nlikuta nyngne ya 140bar na zote znatumia umeme