Natafuta Mashine ya Computer

Natafuta Mashine ya Computer

hamjunior

Senior Member
Joined
Nov 4, 2016
Posts
102
Reaction score
37
Nina bajet ya Tsh. 100,000 wapi naweza pata mashine yenye uwezo wa ram kuanzia 2GB disk kuanzia 160 niko dar
 
Unapata baba hela nzuri sana iyo. Nenda kko

Au mnasemaje mods
 
Nina bajet ya sh 100,000 wapi naweza pata mashine yenye uwezo wa ram kuanzia 2GB disk kuanzia 160 niko dar
Parimatch wanafanya mnada wa machine zao maana wamefunga frem zao za biashara watembelee ofisini kwao jengo la Aldua tower wanamachine nyingi
 
Back
Top Bottom