Acheni tu, upweke ni kitu kingine hatari sana, wenye miaka 25 to 30 inatokea sana hii kitu, inanisumbua mno, unashika hiki hakishikiki natamani kila siku iwe siku ya kazi, usiku ndio changamoto sana
Acheni tu, upweke ni kitu kingine hatari sana, wenye miaka 25 to 30 inatokea sana hii kitu, inanisumbua mno, unashika hiki hakishikiki natamani kila siku iwe siku ya kazi, usiku ndio changamoto sana