Usiwe na haraka, taratibu utaongeza idadi tu huko facebook. Sikufahamu mkuu so nikikuadd nitakuwa labda kama nataka kuongeza idadi ila siyo rafiki wa kweli!
Usiwe na haraka, taratibu utaongeza idadi tu huko facebook. Sikufahamu mkuu so nikikuadd nitakuwa labda kama nataka kuongeza idadi ila siyo rafiki wa kweli!
jaman jf na fb ni nchi mbili tofauti na hazitegemeani kabisaa , fb tumewaachia nyie msitulazimishe uraia wa nchi mbili ,mambo ya nchi hii yaan jf hayaingiliwi na nchi nyingne .elimu sent!