Natafuta Marafiki

Queen Rover

Member
Joined
Apr 29, 2015
Posts
88
Reaction score
79
Hi There,
Mimi ni mwanafunzi wa moja ya vyuo vilivyopo Dar es Salaam kwa ngazi ya Diploma ... Jinsia Ni KE, umri 21... Kwa kifupi napenda kutengeneza marafiki wapya kila siku na katika wao najifunza mambo mengi tofauti tofauti, na kwa kua Jf imejuumuisha watu wengi na tofauti tofauti.. Nami ningependa kupata marafiki kwa wema tu kutokea humu. Tuchat tushauriane tubadilishane mawazo

Karibu whatsapp pia, sio lazima marafiki waongelee mapenzi huwez jua kupitia wewe unaweza kua hata mshauri ama msaada kwangu.

Sichagui umri, kabila, mahali wala rangi, karibu Pm marafiki.
 


Je, una 'future behind', yani nyuma 'shehena' ipo ??

If YES, warmly welcome kwa 'undying urafiki'.

Karibu rafiki tupeane mitikasi na ramani za jiji. Teh
 

How serious are you?

Ni PM i gat something for you.
 
Xamahan
Juz umetafuta mchumba hujatuletea mrejesho leo tena unatafuta marafiki....
Nadhan upo hapa kutulaghai tu huna nia ya kweli
 
Nipo tayari nami nina mtazamo kama wako, nami niko chuo ni pm nikupe details zangu.
 
Tangu Makonda aanzishe operesheni ya kuzuia machangudoa kumekuwa na idadi kubwa ya watu wanaojiuza mitandaoni , naona sasa JF nayo inavamiwa baada ya Badoo, facebook na instagram.

Duc In Altum.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…