- Thread starter
- #21
I thwea in the name of gazatte mi ni rafiki wa nguvu kwelikweli kupita woote. Ila sina uhakika na kujielewe waweza nisaidia plssssssss!!!
mambo niaje?
I thwea in the name of gazatte mi ni rafiki wa nguvu kwelikweli kupita woote. Ila sina uhakika na kujielewe waweza nisaidia plssssssss!!!
I do have both self-respect and self-awareness,i can be your friend.By the way kesho nina safari ya Mwanza halafu ntaelekea Geita ila sijui nauli ya Mwanza mpaka Geita ni shilingi ngapi?Na gari za kwenda Geita zinafanya kazi mpaka muda gani?Nisaidie wewe mwenyeji..Friend in need is a friend indeed.
Nadhani kwa sababu wewe ni mgeni
Maximum uwe umefika kamanga angalau mida ya 9
Sina uhakika na barabara kuoka hapo hadi Sengerema kama ni Lami
Lakini toka Sengerema hadi Geita ni Lami
Ukipita Busisi mzunguko mrefu japo barabara full lami
Thank you for your help,i wish i could GoogleEarth all the places that you mentioned. Anyway nashukuru sana kwa kunisaidia.One more question, kutoka Dar mpaka Mwanza kwa gari kama Green Star inaweza kuchukua muda gani?
TaiJike mambo vip? kongosho kanijuza kitufani ni mefurahi kwakweli.
Lizzy bebi nimeipenda,MxMimi najiheshimu na najielewa/tambua pia.
Angalia kama unafikia vigezo vyangu tuwe mabeste. .
1. Uwezo wako wa kufikiri uwe juu kama mawingu ili nijifunze toka kwako.
2. Uwe na kazi, mambo ya kukopana kopana sifagilii.
3. Uwe unavutia ili iwe rahisi kukutambulisha kama rafiki yangu tena kwa mbwembwe, sio wote tuwe na sura chachu.
4. Usiwe unafupisha maneno kama cc,ww,mm,ki2,xaxa n.k. . . . kozi ya hiyo lugha nilifeli.
5. Uwe creative ili nifaidike na urafiki wetu.
6. Usiwe na mke, naogopa kupigwa.
7. Uwe unajiamini ili nikikutania usilie.
8. Uwe unapenda ukweli ili nikikupa usichukie. . . .
Mimi najiheshimu na najielewa/tambua pia.
Angalia kama unafikia vigezo vyangu tuwe mabeste. .
1. Uwezo wako wa kufikiri uwe juu kama mawingu ili nijifunze toka kwako.
2. Uwe na kazi, mambo ya kukopana kopana sifagilii.
3. Uwe unavutia ili iwe rahisi kukutambulisha kama rafiki yangu tena kwa mbwembwe, sio wote tuwe na sura chachu.
4. Usiwe unafupisha maneno kama cc,ww,mm,ki2,xaxa n.k. . . . kozi ya hiyo lugha nilifeli.
5. Uwe creative ili nifaidike na urafiki wetu.
6. Usiwe na mke, naogopa kupigwa.
7. Uwe unajiamini ili nikikutania usilie.
8. Uwe unapenda ukweli ili nikikupa usichukie. . . .
Inaondoka 12.00 am sharp kufika Mwanza kuanzia saa 3 usiku kama imewahi
japo kuna magari yahayowahi nadhani kufika
lakini speed yake roho mkononi
Kama Allys, Mohamed trans, na Zuberi
Inaondoka 12.00 am sharp kufika Mwanza kuanzia saa 3 usiku kama imewahi
japo kuna magari yahayowahi nadhani kufika
lakini speed yake roho mkononi
Kama Allys, Mohamed trans, na Zuberi
Lizzy bebi nimeipenda,Mx
We kumbe huwezi kuwa rafiki yangu hata kidogo :tongue:
Mimi najiheshimu na najielewa/tambua pia.
Angalia kama unafikia vigezo vyangu tuwe mabeste. .
1. Uwezo wako wa kufikiri uwe juu kama mawingu ili nijifunze toka kwako.
2. Uwe na kazi, mambo ya kukopana kopana sifagilii.
3. Uwe unavutia ili iwe rahisi kukutambulisha kama rafiki yangu tena kwa mbwembwe, sio wote tuwe na sura chachu.
4. Usiwe unafupisha maneno kama cc,ww,mm,ki2,xaxa n.k. . . . kozi ya hiyo lugha nilifeli.
5. Uwe creative ili nifaidike na urafiki wetu.
6. Usiwe na mke, naogopa kupigwa.
7. Uwe unajiamini ili nikikutania usilie.
8. Uwe unapenda ukweli ili nikikupa usichukie. . . .
Siku nyingine mama,lol,MxDP embu refusha hiyo Mx . . .
hata nikirudisha na 10% ?!?! wajameni nitaponea wapi sasa?? ndio maaana wote wananikimbia kwa sababu ya mwisho mpaka leo sijalipa ;-)Ndio siwezi.
Hehehehehe UTAJIJU.hata nikirudisha na 10% ?!?! wajameni nitaponea wapi sasa?? ndio maaana wote wananikimbia kwa sababu ya mwisho mpaka leo sijalipa ;-)