unataka kunitoa?smile uko mji gani hapa Tanzania?
tuko pamoja kuanzia and nitakufundisha how to be you.
Nikwambie kitu
Ukiwa unamjibu mtu fulani
Kama unatumia komputa
gonga kwenye koment yake upande wa kulia chini
Palipoandikwa 'Reply with quote'
Kama unatumia simu
Nenda kwenye komenti ya mtu unayemjibu
upande wa kushoto chini
gonga 'reply'
Afu andika utakacho.
Nipo hapa rafiki ninejiheshimu ila sijielewielewi vile, kama vipi nieleweshe.
Nimekupata kijana your so smart, and tenx for that.
Nipo hapa rafiki ninejiheshimu ila sijielewielewi vile, kama vipi nieleweshe.
Karibu!