Ku DM ndio nini?CV sio lazima uandike jina ungeweka hapa mtu akiridhika ndio akutafuteWasifu Mimi mfamasia contacts siwezi toa hapa ambaye ataweza nipa nafasi ana ni DM
Uko careless kama Ku PM tu unaandika Ku DM hiyo kazi utaiweza kweli?Ku direct message au ku PM private message.
Utakosea kuandika majina ya dawa Kama PM tu unaiandika DM herufi mbili tu unakosea kuandika kuandika majina marefu ya dawa itakuwa tatizo.Spelling Na proffession yako vina uhusiano wa karibu sanaKwanii nsiweze kwan DM ina affect nn kwenye ujuz wangu na nmekupa maana yake
Kuna uhusiano sawa lakini ujue typing error zipo mkuu na hazihusian na dispensing errors kabisa kwa hapa.Utakosea kuandika majina ya dawa Kama PM tu unaiandika DM herufi mbili tu unakosea kuandika kuandika majina marefu ya dawa itakuwa tatizo.Spelling Na proffession yako vina uhusiano wa karibu sana
Kwani hizo errors zimejitype si umetumia Mkono wako kuandika ?Usiziite typing errors ni unprofessional ziite your errors kuwa professional ni pamoja Na Ku admit your errors Wewe sio professionalKuna uhusiano sawa lakini ujue typing error zipo mkuu na hazihusian na dispensing errors kabisa kwa hapa.
According to you Mimi sio professional sawa ila hujui kilichopo kichwani mwangu kuhusiana na hyo pharmacy practices kama unataka thibitisha ilo nipe nafasi uone kama unayo na kama huna nkutakie majukumu mema ya kulijenga taifa mkuu.Kwani hizo errors zimejitype si umetumia Mkono wako kuandika ?Usiziite typing errors ni unprofessional ziite your errors kuwa professional ni pamoja Na Ku admit your errors Wewe sio professional
Wasifu Mimi mfamasia contacts siwezi toa hapa ambaye ataweza nipa nafasi ana ni DM
watu kama wewe huwa mnachefua sana na matangazo yasiyoeleweka, yani kama sio msoni vile, kujieleza hujui nani atakupa hiyo nafasi hata kama ipoKama heading inavojieleza natafuta sehemu zifuatazo kujitolea pharmacies,hospitals and dispensaries na hata duka la dawa sawa tu.
kuna haja vyuoni ile last semester wawe wanafundisha finalists namna ya kuandika cover letter, CV na application letterMkuu tangazo haliandikwi hivyo, wasifu wako hukuna, contacts hakuna
Kwani nani kasema naomba kazi Mimi nimeomba kujitolea maana bado nasoma so vitu kama huvijui piga kimya mwenye nafasi anipe wewe huna nafasi kaa kimya.kuna haja vyuoni ile last semester wawe wanafundisha finalists namna ya kuandika cover letter, CV na application letter