Natafuta mafundi wa air condition

Natafuta mafundi wa air condition

styl

Member
Joined
Feb 7, 2014
Posts
52
Reaction score
8
Hi guys! nahitaji vijana watatu wenye ujuzi wa kufanya service air condition.
Note: Naomba asiwe mtu wa kujifunza kazi, awe ameshawahi kufanya service walau A.C 50 kwenye historia ya ujuzi wake.

Malipo: 7000/= kwa A.C moja.

Mawasiliano: 0685654180
 
Hi guys! nahitaji vijana watatu wenye ujuzi wa kufanya service air condition.
Note: Naomba asiwe mtu wa kujifunza kazi, awe ameshawahi kufanya service walau A.C 50 kwenye historia ya ujuzi wake.

Malipo: 7000/= kwa A.C moja.

Mawasiliano: 0685654180
Eneo la kazi n mkoa gan Mkuu?
 
Hi guys! nahitaji vijana watatu wenye ujuzi wa kufanya service air condition.
Note: Naomba asiwe mtu wa kujifunza kazi, awe ameshawahi kufanya service walau A.C 50 kwenye historia ya ujuzi wake.

Malipo: 7000/= kwa A.C moja.

Mawasiliano: 0685654180

Ngoja Kwanza Vipele vya Joto vitutoke kwa wingi Miilini mwetu pamoja na kutubabua Ngozi ndipo tutakueleza alipo Fundi mzuri wa AC.
 
Back
Top Bottom