Upo wapi mkuu mm ninazo nipo Masasi MtwaraNatafuta line ya kununua ya uwakala wa mpesa na tigo pesa, Mwenye nayo naomba tuwasiliane
Una bei gan nipo arushaNatafuta line ya kununua ya uwakala wa mpesa na tigo pesa, Mwenye nayo naomba tuwasiliane
nipo dar, ninazo, cheki PM yako nimeweka full detailsNaomba contact zako mkuu
tatizo kuipata kwa wakatiKwani kupata mpya gharama ipoje Mana some time virahisi vinakuja cost baadae
laini zinatolewa bure, hiyo M 1 ya nn?Nakushauri uongezee pesa kidogo ifike 1mil. ili uchukue laini zote unazotaka kwa jina lako.Yaani milioni moja hiyohiyo unachukulia laini ya M-pesa,Tigo-pesa,Airtel money n.k,nikitendo chaku withdrawal tu pesa unaweka kwenye laiini nyingine unayotaka hadi unamaliza,simple and clear,shortcut is so dangerous.