Natafuta leseni ya gari class D

Mkuu hakuna mtu atakayejitokeza hapa kwa ajili ya hiyo issue watu hawawezi kujiweka rehani kwa mtindo huo nani atakubali kwenda kulala jela kizembe.
 
Una hamu ya kupata au kusababisha ajali
 
Nenda sentro,ulizia RTO,nimemwachia leseni yako nimeshaweka picha za details zako zote.
Ila utakapoanza kuendesha gari,hakikisha unabeba Sanda na pesa elfu thelathini au zaidi ili tuweze kukununulia jeneza!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…