Natafuta laptop

Natafuta laptop

Iruru

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2014
Posts
1,469
Reaction score
2,901
Wadau habari ya mchana, natafuta laptop, ofa yangu laki 2. Kama unayo na nzima basi nipm; aina yoyote na ukubwa wowote ilmradi tu iwe nzima. Hard disc iwe kuanzia 80 na ram angalau 2
 
Wadau habari ya mchana, natafuta laptop, ofa yangu laki 2. Kama unayo na nzima basi nipm; aina yoyote na ukubwa wowote ilmradi tu iwe nzima. Hard disc iwe kuanzia 80 na ram angalau 2
Fika pale machinga complex (ghorofa ya pili), Kuna wadau wengi wanauza used PC, waweza kubahatika kupata kwa hiyo tzs 200k
 
Fika pale machinga complex (ghorofa ya pili), Kuna wadau wengi wanauza used PC, waweza kubahatika kupata kwa hiyo tzs 200k
Asante mkuu, nitajaribu!

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Wadau habari ya mchana, natafuta laptop, ofa yangu laki 2. Kama unayo na nzima basi nipm; aina yoyote na ukubwa wowote ilmradi tu iwe nzima. Hard disc iwe kuanzia 80 na ram angalau 2
Ni pm nikuelekeze wapi pa kupata laptop kwa pesa yako ulionanyo
 
Wadau habari ya mchana, natafuta laptop, ofa yangu laki 2. Kama unayo na nzima basi nipm; aina yoyote na ukubwa wowote ilmradi tu iwe nzima. Hard disc iwe kuanzia 80 na ram angalau 2
Ninayo laptop nzuri itakufaa hp. Nitakuuzia rahisi tu pindi ukiwa umeridhika iko fine. Nitumie namba yako inbox nitakutafuta nikirudi. Hivi sasa niko safarini narudi jumatano.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
ipo
LG laptop
Core i5
ram 4gb
HDD 320GB
15.6" inch screen

ina matatizo mawiri
moja battery haikai chaji hata sekunde
pili Herufi Z,K,M n P na F2 hazifanyi kazi

ukiridhika na hayo matatizo yake njoo PM tuyajenge nitakutumia na mapicha nitakuuzia kwa laki na 50
150000/=
 
Wadau habari ya mchana, natafuta laptop, ofa yangu laki 2. Kama unayo na nzima basi nipm; aina yoyote na ukubwa wowote ilmradi tu iwe nzima. Hard disc iwe kuanzia 80 na ram angalau 2
20170716_001800.jpg
20170716_001928.jpg


Mini hp hiyo itakufaa bei poa. Nauza sababu nimenunua nyingine. Laki 1 na 30.
 
ipo
LG laptop
Core i5
ram 4gb
HDD 320GB
15.6" inch screen

ina matatizo mawiri
moja battery haikai chaji hata sekunde
pili Herufi Z,K,M n P na F2 hazifanyi kazi

ukiridhika na hayo matatizo yake njoo PM tuyajenge nitakutumia na mapicha nitakuuzia kwa laki na 50
150000/=
Misha kutumia PM,nitumie pics tuongee biz.
 
ipo
LG laptop
Core i5
ram 4gb
HDD 320GB
15.6" inch screen

ina matatizo mawiri
moja battery haikai chaji hata sekunde
pili Herufi Z,K,M n P na F2 hazifanyi kazi

ukiridhika na hayo matatizo yake njoo PM tuyajenge nitakutumia na mapicha nitakuuzia kwa laki na 50
150000/=
Kama bado unayo weka picha
 
Ninayo laptop nzuri itakufaa hp. Nitakuuzia rahisi tu pindi ukiwa umeridhika iko fine. Nitumie namba yako inbox nitakutafuta nikirudi. Hivi sasa niko safarini narudi jumatano.

Post sent using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu, nmeshakuja pm

Post sent using JamiiForums mobile app
 
ipo
LG laptop
Core i5
ram 4gb
HDD 320GB
15.6" inch screen

ina matatizo mawiri
moja battery haikai chaji hata sekunde
pili Herufi Z,K,M n P na F2 hazifanyi kazi

ukiridhika na hayo matatizo yake njoo PM tuyajenge nitakutumia na mapicha nitakuuzia kwa laki na 50
150000/=
Mkuu assnte, ngoja nijaribu hawa wadau wrngine kwanza, ikiwezekana ntakucheki

Post sent using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom