Natafuta Kiwanja:

Natafuta Kiwanja:

Aika Mndumii

Senior Member
Joined
Jan 19, 2013
Posts
164
Reaction score
47
a) Eneo la kibada (Kigamboni)

b) Ukubwa wa eneo isiwe chini ya mita za mraba 950

c) Kiwanja kiwe upande wa kushoto wa barabara kama unaelekea Kibada

d) Kikiwa maeneo ya full shangwe ni vizuri zaidi.

e) kisiwe umbali zaidi ya 15km kutoka fery.

f) Kiwe kimepimwa na kina hati safi (iliyolipiwa ada za ardhi). Kiwe kwenye viwanja vya mradi eneo la kibada

g) Umeme uwe jirani

h) Kama unacho na wewe ni dalali utakula % yako kwa muuza kiwanja na siyo kwangu.

i) Kutoka barabara ya kibada umbali usiwe zaidi ya 1km

j) Offer yangu ni 15m

k) Maji si lazima (najua hakuna maji ya DAWASCO) nitachimba kisima mwenyewe

L) Mimi mwenyewe ndiyo nahitaji


Kama unacho weka namba yako ya simu nikupigie.

Ombi: Usije na pendekezo la eneo lingine maana mimi nataka eneo la kibada na siyo vinginevyo.

Asante sana wakuu.
 
Mkuu kuhusu kiwanja kigamboni bora utaingia chaka we achana nako,huko kuna huu mradi wa kigamboni ni kizungumkuti sana utatimuliwa tu sooni
a) Eneo la kibada (Kigamboni)

b) Ukubwa wa eneo isiwe chini ya mita za mraba 950

c) Kiwanja kiwe upande wa kushoto wa barabara kama unaelekea Kibada

d) Kikiwa maeneo ya full shangwe ni vizuri zaidi.

e) kisiwe umbali zaidi ya 15km kutoka fery.

f) Kiwe kimepimwa na kina hati safi (iliyolipiwa ada za ardhi). Kiwe kwenye viwanja vya mradi eneo la kibada

g) Umeme uwe jirani

h) Kama unacho na wewe ni dalali utakula % yako kwa muuza kiwanja na siyo kwangu.

i) Kutoka barabara ya kibada umbali usiwe zaidi ya 1km

j) Offer yangu ni 15m

k) Maji si lazima (najua hakuna maji ya DAWASCO) nitachimba kisima mwenyewe

L) Mimi mwenyewe ndiyo nahitaji


Kama unacho weka namba yako ya simu nikupigie.

Ombi: Usije na pendekezo la eneo lingine maana mimi nataka eneo la kibada na siyo vinginevyo.

Asante sana wakuu.
 
a) Eneo la kibada (Kigamboni)

b) Ukubwa wa eneo isiwe chini ya mita za mraba 950

c) Kiwanja kiwe upande wa kushoto wa barabara kama unaelekea Kibada

d) Kikiwa maeneo ya full shangwe ni vizuri zaidi.

e) kisiwe umbali zaidi ya 15km kutoka fery.

f) Kiwe kimepimwa na kina hati safi (iliyolipiwa ada za ardhi). Kiwe kwenye viwanja vya mradi eneo la kibada

g) Umeme uwe jirani

h) Kama unacho na wewe ni dalali utakula % yako kwa muuza kiwanja na siyo kwangu.

i) Kutoka barabara ya kibada umbali usiwe zaidi ya 1km

j) Offer yangu ni 15m

k) Maji si lazima (najua hakuna maji ya DAWASCO) nitachimba kisima mwenyewe

L) Mimi mwenyewe ndiyo nahitaji


Kama unacho weka namba yako ya simu nikupigie.

Ombi: Usije na pendekezo la eneo lingine maana mimi nataka eneo la kibada na siyo vinginevyo.

Asante sana wakuu.
Mahitaji hayaendani na bei za eneo husika. Wamesha janjaruka siku hizi.... All the best.
ANGALIZO: Angalia sana usije kutapeliwa.
 
Kwa maeneo ya Full shangwe andaa kuanzia 20m to 30m!
 
Mkuu, mradi wa Kigamboni hautagusa viwanja vya mrad wa viwanja 20,000i. Pia kwa tahadhari kuna maeneo pale mitaa ya full shangwe huwa yanajaa maji mvua zikinyesha kwa hiyo uwe makini. Mpigie huyu jamaa alinisaidia nikapata kiwanja Cornerstone - Kibada 07155661308 Mr. Mkiwa
 
Mkuu, mradi wa Kigamboni hautagusa viwanja vya mrad wa viwanja 20,000i. Pia kwa tahadhari kuna maeneo pale mitaa ya full shangwe huwa yanajaa maji mvua zikinyesha kwa hiyo uwe makini. Mpigie huyu jamaa alinisaidia nikapata kiwanja Cornerstone - Kibada 07155661308 Mr. Mkiwa




Nashukuru sana mkuu kwa kunipa tahadhari kuhusu eneo linalojaa maji. Nashukuru pia kwa ufafanuzi kuhusu viwanja vya mradi Vs mradi wa kigamboni.
 
Nashukuru sana mkuu kwa kunipa tahadhari kuhusu eneo linalojaa maji. Nashukuru pia kwa ufafanuzi kuhusu viwanja vya mradi Vs mradi wa kigamboni.

Hiyo namba iko sahihi, au 5 moja imezidi?
Au ni macho yangu tu?

07155661308
 
Kwa bei hiyo na sifa za eneo ulitakalo haviendani.Hapa kwetu kwa Tandale unaweza kupata.Karibu.
 
a) Eneo la kibada (Kigamboni)

b) Ukubwa wa eneo isiwe chini ya mita za mraba 950

c) Kiwanja kiwe upande wa kushoto wa barabara kama unaelekea Kibada

d) Kikiwa maeneo ya full shangwe ni vizuri zaidi.

e) kisiwe umbali zaidi ya 15km kutoka fery.

f) Kiwe kimepimwa na kina hati safi (iliyolipiwa ada za ardhi). Kiwe kwenye viwanja vya mradi eneo la kibada

g) Umeme uwe jirani

h) Kama unacho na wewe ni dalali utakula % yako kwa muuza kiwanja na siyo kwangu.

i) Kutoka barabara ya kibada umbali usiwe zaidi ya 1km

j) Offer yangu ni 15m

k) Maji si lazima (najua hakuna maji ya DAWASCO) nitachimba kisima mwenyewe

L) Mimi mwenyewe ndiyo nahitaji


Kama unacho weka namba yako ya simu nikupigie.

Ombi: Usije na pendekezo la eneo lingine maana mimi nataka eneo la kibada na siyo vinginevyo.

Asante sana wakuu.

Mkuu,
kitakachokukwamisha hapo ni hiyo size ya kiwanja, otherwise ungepeta mara moja.
By the way, kwanini umependelea upande wa kushoto wa barabara? just for curiosity...
 
Mkuu,
kitakachokukwamisha hapo ni hiyo size ya kiwanja, otherwise ungepeta mara moja.
By the way, kwanini umependelea upande wa kushoto wa barabara? just for curiosity...


Mkuu nashukuru. Nimependelea upande wa kulia kwa sababu katika pitapita yangu huko ule upande wa kushoto landscaping yake siyo nzuri sana (mtelemko na miinuko) hivyo inaweza kunipa gharama wakati wa kujenga ukizingatia uwezo wangu. Pili upande wa kulia hasa maeneo ya full shangwe mpaka kibada mwisho kutuoni watu wengi wamejenga na kuhamia hivyo itakuwa rahisi mimi pia kuanza ujenzi na kuhamia kwa wakati. Ni hilo tuu kiongozi ila ushauri pia utazingatiwa.

Asante sana.
 
Mkuu nashukuru. Nimependelea upande wa kulia kwa sababu katika pitapita yangu huko ule upande wa kushoto landscaping yake siyo nzuri sana (mtelemko na miinuko) hivyo inaweza kunipa gharama wakati wa kujenga ukizingatia uwezo wangu. Pili upande wa kulia hasa maeneo ya full shangwe mpaka kibada mwisho kutuoni watu wengi wamejenga na kuhamia hivyo itakuwa rahisi mimi pia kuanza ujenzi na kuhamia kwa wakati. Ni hilo tuu kiongozi ila ushauri pia utazingatiwa.

Asante sana.

Sawa, lakini mkuu katika tangazo lako umesema unataka kiwe upande wa kushoto. Katika jibu lako naona kama unapenda upande wa kulia. Kama vipi fanya marekebisho kwenye post...
Ni kweli upande wa kulia ndio ulioachangamka zaidi kwa sasa.
 
Sawa, lakini mkuu katika tangazo lako umesema unataka kiwe upande wa kushoto. Katika jibu lako naona kama unapenda upande wa kulia. Kama vipi fanya marekebisho kwenye post...
Ni kweli upande wa kulia ndio ulioachangamka zaidi kwa sasa.


Asante mkuu kwa marekebisho. Mimi nataka upande wa kushoto na siyo wa kulia. Upande wa kulia ndiyo wenye landscaping ngumu kidogo ambao sipendelei.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom