Habari ya leo mabibi na mabwana.Natafuta kiwanja kwa ajili ya kujenga kakibanda kakujihifadhi mimi na makinda yangu.Nipo Dar es salaam,maeneo nayopendelea ikiwezekana ni uelekeo wa Tegeta kwenda mbele au Uelekeo wa Kimara.I am not limited to my choices,kama unakiwanja popote isipokuwa Kigamboni tuwasiliane kwa 0689326120.Ofa yangu itakuwa between 8 and 13M.