Natafuta kiwanja

Natafuta kiwanja

Geronimo

Member
Joined
Jul 1, 2011
Posts
28
Reaction score
9
natafuta kiwanja maeneo ya kigamboni.Prefferably chenye hati ingawa hata unsurveyed kinaweza zingatiwa. Size kiwe medium density au low.
 
Mkuu unapenda Kigamboni sehemu gani? Kama vipi ni PM nikulengeshe kama uta maind sehemu inaitwa Mwembe mmoja, ni kilomita 19 toka feri njia ya kwenda Kimbiji kwa mantiki hiyo ni nje ya mradi
 
Huko kimbiji viwanja vinakwenda kwa bei gani? na je kumepimwa? na mimi nina interest na kiwanja maeneo ya kigamboni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom