Mwenge du kweli bado kuna viwanja? Labda ukajichukulie kile cha karibia na kwa Mtume na Nabii Mwingira ujenge maana kwa kuwa ni mtumishi wa Mungu atakusamehe tu
huwezi kuchukua karibu na loyola sekondari ni kama mita 100 kutoka barabara kuu ya lami,unaweza kupata kwa bei hiyo upo serious? Kiwanja kimepakana na mradi wa hostel za loyola sekondari ikimaanisha unaweza kuwekeza pia ukilinganisha mahitaji ya wanafunzi na wakazi nipigie 0659197822
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.