Kwa bahati nzuri kinapatikana ndugu, kaa ukijua shida hazifanani@
Kiwanja cha kununua kwa pesa isiyozidi mil.3 au 3.5 kiwe karibu na huduma muhimu kama maji,umeme na barabara ndani ya viunga vya MWANZA tuwasiliane kwa 0655206989
ANGALIZO: NI LAZIMA KIWANJA KIWE NA UMILIKI HALALI KISHERIA VINGINEVYO USIJISUMBUE@
Sidhan kama utapata kwa pesa hiyo, hata kisesa au Busagala so rahisi kwa fedha hiyo. Mi nakwambia kama mwenyeji na mmiliki mzuri wa viwanja hapa mwanza, usijisumbue kuwaza kwamba utapata
Achen kumuadaa viwanja vipo
labda magu si unafahamu huko pia ni ndani ya mwanza
Endelea kupga kelele hpo nimenunua m. 1 na lak mbil na ni ppf
nadhani ni ppf na unaingia ndani zaidi... hata hivyo kwa hiyo bei sina imani na ukubwa wake!!!
ukwel kwa 3.5M anaweza pata kiwanja ila sio maeneo yenye umeme au maji kwa pamoja, labda afanye jitihada ya kuvuta mwenyewe....
Utafiti niliofanya unaonyesha madali uwa wana dharau sana kuhusu pesa,kuliko mwenye mali,wenye Mali uwa hawana tatizo na madali uwa wanataka wapate zaidi kuliko mwenye mali.
Hivi nyie madalali ni nani aliyewarogaaaaaaa
Aisee ni ppf ipi hiyo? Na sq meter ngapi hiyo plot? Ina hati? Na mm niwe jirani yakoEndelea kupga kelele hpo nimenunua m. 1 na lak mbil na ni ppf
Nipigie id . mbili mtu mmoja 0754866063Aisee ni ppf ipi hiyo? Na sq meter ngapi hiyo plot? Ina hati? Na mm niwe jirani yako
SawaNipigie id . mbili mtu mmoja 0754866063