Kuwa makini huko nasikia kuna maeneo yana mgogoro na DDCNinahitaji kiwanja maeneo ya Tegeta, Madale.
Ukubwa: sqm 450-500.
Budget: 15m.
Nitafurahi sana kama ntapata kutoka kwa mmiliki mwenyewe na kisiwe na migogoro.
Mwenye nacho naomba ani PM
Mnapandisha mno bei za Viwanja, you should say 5-7ml.
Hiyo bei labda kigambonihata kitunda hupati
Kigamboni sawaMnapandisha mno bei za Viwanja, you should say 5-7ml.
Kwani kitunda hakuna hadhi mpaka utolee mfano?hata kitunda hupati
Kwani kitunda hakuna hadhi mpaka utolee mfano?
Ungeandika kwa kiswahili ungeeleweka vizuri mnoinaelewweka. the far unavyozidi kudiverge mji ndio thamani ya ardhi inazidi kushuka
Ungeandika kwa kiswahili ungeeleweka vizuri mno