rodgers123
Senior Member
- Jul 12, 2015
- 180
- 152
Mbezi msumi kuna kiwanjaWakuu habari,
Kama mnavyoona hali ya kifendha inakuwa ngumu kila kukicha kwa sisi wengine.
Jamani natafuta kiwanja maeneo haya Boko, Bunju, Salasala au Makongo juu.
Budjet yangu nio hiyo 8M. Kiwe kikubwa kidogo minimum 25 * 30.
Natanguliza shukrani.
Wakuu habari,
Kama mnavyoona hali ya kifendha inakuwa ngumu kila kukicha kwa sisi wengine.
Jamani natafuta kiwanja maeneo haya Boko, Bunju, Salasala au Makongo juu.
Budjet yangu nio hiyo 8M. Kiwe kikubwa kidogo minimum 25 * 30.
Natanguliza shukrani.
Njoo pmKama utapata wazo jipya kuna kiwanja Allepo..ml2 tu heka 2
kipo kingine madale 30*25 bei ml.7,umeme upo
njoo inbox nikupatie kinyerez mwisho karibu na mitambo ya kuzalisha umeme tanescpWakuu habari,
Kama mnavyoona hali ya kifendha inakuwa ngumu kila kukicha kwa sisi wengine.
Jamani natafuta kiwanja maeneo haya Boko, Bunju, Salasala au Makongo juu.
Budjet yangu nio hiyo 8M. Kiwe kikubwa kidogo minimum 25 * 30.
Natanguliza shukrani.