Wadau salamu zenu! Ninatafuta kiwanja maeneo ya Majohe kiwe karibu na kwa Ngozoma au Majohe Kichangani. Kiwe na ukubwa wowote.
Natanguliza shukrani wadau.
Mimi nauza kipo chanika kwa mbiki ni dakika5 chache kutoka barabara ya lami na kipo karibu na barabara ya vumbi...ni eneo la makaz ya watu ,watu wamejenga sana eneo hilo..kiwanja kinaukubwa wa mita za mraba 34 kwa 25 .Hati ipo ..Bei ni million nane tuu hakuna dalali na unaweza kulipa kwa awamu..kwa maelezo zaidi 0768048758
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.