Natafuta kiwanja kilichopimwa

Natafuta kiwanja kilichopimwa

leroy

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2010
Posts
1,622
Reaction score
2,220
Wakuu habari zenu,
Ni muda sasa nimekuwa nikitafuta kiwanja cha kuanza maisha bila mafanikio.
Ninahitaji kiwanja kilichopimwa chenye ukubwa usiopungua square metres 2500 yaani 50m kwa 50m.
Bajeti yangu ni Milioni 5 ilia nipo tayari kuongeza kidogo nikiona kinafaa.
Natanguliza shukrani.
 
Nenda Bayport wanakopesha viwanja vipo Vikuruti Kibaha hata sqm 5000 .. Kazi ni kwako
 
Wakuu habari zenu,
Ni muda sasa nimekuwa nikitafuta kiwanja cha kuanza maisha bila mafanikio.
Ninahitaji kiwanja kilichopimwa chenye ukubwa usiopungua square metres 2500 yaani 50m kwa 50m.
Bajeti yangu ni Milioni 5 ilia nipo tayari kuongeza kidogo nikiona kinafaa.
Natanguliza shukrani.
unatafuta wapi Songea ama kigoma?
 
Duuuuh 50m*50m kiwe kimepimwa kwa 5mil or > 10mil kila la kheri
 
Wakuu habari zenu,
Ni muda sasa nimekuwa nikitafuta kiwanja cha kuanza maisha bila mafanikio.
Ninahitaji kiwanja kilichopimwa chenye ukubwa usiopungua square metres 2500 yaani 50m kwa 50m.
Bajeti yangu ni Milioni 5 ilia nipo tayari kuongeza kidogo nikiona kinafaa.
Natanguliza shukrani.

Mkuu kwa hapa dar hiyo kitu sahau
 
Wakuu habari zenu,
Ni muda sasa nimekuwa nikitafuta kiwanja cha kuanza maisha bila mafanikio.
Ninahitaji kiwanja kilichopimwa chenye ukubwa usiopungua square metres 2500 yaani 50m kwa 50m.
Bajeti yangu ni Milioni 5 ilia nipo tayari kuongeza kidogo nikiona kinafaa.
Natanguliza shukrani.

Japo hujasema unatafuta wapi lakini kwa Dar es Salaam bei ya sqm moja si chini ya Tshs 10,000, ambapo kw asqm zako hizo 2,500 ni si chini ya Million 25,000,000! Kwa mikoani nako sidhani kama kuna kiwanja kimepimwa (japo sijui kama aulimaanisha kupimwa tu bila hati) si chini ya Shs. 5,000 kwa sqm ambapo kwa matakwa yako bado si chini ya Shs milioni 12,500,000!
 
Back
Top Bottom