WINCH
Member
- May 3, 2016
- 71
- 23
Natafuta Kiwanja Dodoma, kuanzia ukubwa wa 450 sqm
Ofa: Mil. 3.5 had 4, Kiwanja kiwe kimepimwa
Maji na umeme viwe karibu, barabara (daladala) iwe inafika.
Pasiwe mbali na mjini (Isizidi km 15).
Pakiwa barabara ya Dar itapendeza zaidi (Ni muhimu ila sio lazima)
Ahsanteni
Kama unacho niPM tafadhali
Ofa: Mil. 3.5 had 4, Kiwanja kiwe kimepimwa
Maji na umeme viwe karibu, barabara (daladala) iwe inafika.
Pasiwe mbali na mjini (Isizidi km 15).
Pakiwa barabara ya Dar itapendeza zaidi (Ni muhimu ila sio lazima)
Ahsanteni
Kama unacho niPM tafadhali