Natafuta kiwanja kilichopimwa Dar

Natafuta kiwanja kilichopimwa Dar

malema 1989

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2012
Posts
1,323
Reaction score
529
Wanajamvi,

Naomba anayefahamu kiwanja kizuri kilichopimwa maeneo ya Pugu, Gongo la Mboto, Mbezi, Kinyerezi, Kimara. Kiwe sehemu nzuri siyo bondeni na kiwe siyo mbali sana na barabara na kiwe kinafikika muda wote wa mwaka.
 
wanajamvi naomba anayefahamu kiwanja kizuri kilichopimwa maeneo ya Pugu, gongo la mboto, mbezi, kinyerezi, kimara KIWE SEHEMU NZURI SIYO BONDENI NA KIWE SIYO MBALI SANA NA BARABARA NA KIWE KINAFIKIKA MUDA WOTE WA MWAKA.
Njoo pm
 
Wanajamvi,

Naomba anayefahamu kiwanja kizuri kilichopimwa maeneo ya Pugu, Gongo la Mboto, Mbezi, Kinyerezi, Kimara. Kiwe sehemu nzuri siyo bondeni na kiwe siyo mbali sana na barabara na kiwe kinafikika muda wote wa mwaka.

Mkuu kigambon hutaki? Huku hamnaga mafuliko wala folen maisha ni mteremko tu
 
Wanajamvi,

Naomba anayefahamu kiwanja kizuri kilichopimwa maeneo ya Pugu, Gongo la Mboto, Mbezi, Kinyerezi, Kimara. Kiwe sehemu nzuri siyo bondeni na kiwe siyo mbali sana na barabara na kiwe kinafikika muda wote wa mwaka.
Ninacho Goba 47x30 mkuu kipo Goba dakika 5 kwa gari hadi masana na dakika 2 hadi barabara ya lami
 
Back
Top Bottom