The Industry
Senior Member
- Sep 1, 2012
- 114
- 30
Hiki ni kiwanja kilichopimwa kwasasa kipo kwenye mchakato wa kupata hati wilayani Kibaha. Kiwanja kipo Vikawe-maeneo ya Miwale...kina SQM 2538. Kipo eneo zuri sana hakipo bondeni, kimepakana na barabara kubwa ya 20m na barabara ndogo ya 6m.
PRICE- 15M.
Mawasiliano... 0684 848801.
PRICE- 15M.
Mawasiliano... 0684 848801.