Natafuta Kiwanja Dar es Salaam

Natafuta Kiwanja Dar es Salaam

SaaMbovu

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2013
Posts
6,028
Reaction score
5,355
Habari wana JF.
Natafuta kiwanja cha kujenga nyumba ya kawaida ya makazi kwa Mkoa wa Dar es Salaam.
Kama kuna yeyote anauza, au rafiki yake anauza au hata jirani anauza tafadhali naomba uni pm au unijulishe kupitia +255 718 084 824.
Ahsante sana.
 
Kuna kiwanja kinauzwa kawe 30×25, vipo vingine kinzudi, tegeta .Nicheki 0752953860
 
Kwa mlionitumia sms tutawasiliana kesho. Nawashukuru sana.
 
Habari wana JF.
Natafuta kiwanja cha kujenga nyumba ya kawaida ya makazi kwa Mkoa wa Dar es Salaam.
Kama kuna yeyote anauza, au rafiki yake anauza au hata jirani anauza tafadhali naomba uni pm au unijulishe kupitia +255 718 084 824.
Ahsante sana.

Kuna kiwanja kinzudi mwisho, ukipita salasala, 20×20 milioni5! 20×30 milioni9,
0752953860
 
kuna 16 kwa 16 kinauzwa Milioni 4 ( Kipo Kivule Gongo la mboto ), huku hautanunua mchanga kwa ujenzi maana huku ardhi yake ni changa changa. Hivyo watu wanafanyaga hi, pale unapotaka kuchimba choo au kalo ule mchanga ndio utakaojengea nyumba yako. nicheki hapa 0715553166
 
kuna kiwanja mbez luis 25x30 mita bei milion 14, kama upo tayar nichek mkuu 0712621693 au 0769675352
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom