Natafuta kiwanja cha kununua

Natafuta kiwanja cha kununua

Habari zenu jf
Natafuta kiwanja cha kununua maeneo ya boko bunju madale mbweni na goba
Kiwe kimepimwa tayari.

Kipo Goba, kina square meters 1511 kimepimwa kipo flat, barabara ipo ya meter 6 mpaka ktk kiwanja, umeme upo na hudumu nyingine zote za jamii, bei 35 ml!
 
kiwanja kipo mbezi msumi karibu na madale 25mx25m au 625sqm kimepimwa, kinauzwa 8M, vimebaki viwili

mawasiliano 0764183123
 
Tabata relini karibu na St Mary's college na kina square m 1600 pia kina hati,kama una milioni 300 uje na mazungumzo yapo
 
Mimi ninacho mtoni kijichi kinaangalia mkondo wa bahari ni 2000sqm kina leseni ya makazi, mil 60 maongezi yapo
 
uhitaji wako kiwanja , kampuni yetu inajishughulisha na uuzaji wa viwanja pamoja Na ujenzi wa nyumba kwa gharama nafuu sana, tuna viwanja kigamboni,Mvuti,Mkuranga,kibaha,na kongowe ,katika size tofauti na na bei tofauti,.VIWAJA vyote vimepimwa na utafanyiwa utaratibu wa kumiliki hati .Pia tunatoa huduma ya uwakala wa ununuzi viwanja au majengo kwa niaba ya mteja.
karibu tukuhudumie 0762 576878. CHAD CREATION CO LTD.
tupo Machinga Complex ghorofa Ya 4
 
Anayehitaji kiwanja morogoro. Pm me.
 
Habari zenu jf
Natafuta kiwanja cha kununua maeneo ya boko bunju madale mbweni na goba
Kiwe kimepimwa tayari.
Chezea kipindi hiki cha mzee Magu wewe,umeona viwanja ulivyoletewa hadi mwenyewe umebaki hoi,na bado vitazidi kuja na full detail.
 
Kuna mtu namjuaa anauza nyumba madame nyumba ya kisasa anauza Mln 55....
Unaweza kuwa na kichwa..

OVA
Nina kiwanja cha sqm 920 kipo mbweni bei ni 80milion. Kina hati na kipo jirani na bahari # 0712464777
una
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom