just inbox me your contact kuna mtu atakutafuta muwasiliane..kiwanja kiko maeneo ya nyakato hakijapimwa bado ila nadhani jiji watakwenda kupima siku si nyingi bei 2.5 Mill
just inbox me your contact kuna mtu atakutafuta muwasiliane..kiwanja kiko maeneo ya nyakato hakijapimwa bado ila nadhani jiji watakwenda kupima siku si nyingi bei 2.5 Mill
jamii,hivyo vinavotaka kupimwa si tayari viko kwenye mpango tayari? sasa mtu akinunua wakati vimewekwa kwenye mpango si ndo mwanzo wa kuuziwa kiwanja ambacho kimeshakuwa allocated tayari halafu ukaja kuingia kwenye ugomvi na aliyepewa na mamlaka, huku yule aliyekuuzia kienyeji ameshatokomea?
Nahitaji kile ambacho ni magumashi free.
Nime ku pm hata hivyo mkuu.