N Nkondo 2 Senior Member Joined Oct 10, 2016 Posts 187 Reaction score 153 Feb 25, 2026 #1 Salam ndugu zangu, mimi ni mkazi wa Mwanza ninaomba kwa atakayekuwa na kiwanja kizuri chenye ukubwa wa kuanzia 30 kwa 40 ama squameter kuanzia 1000. Maeneo yoyote kuanzia Nyegezi uelekeo wa hadi Usagara.
Salam ndugu zangu, mimi ni mkazi wa Mwanza ninaomba kwa atakayekuwa na kiwanja kizuri chenye ukubwa wa kuanzia 30 kwa 40 ama squameter kuanzia 1000. Maeneo yoyote kuanzia Nyegezi uelekeo wa hadi Usagara.
Wa maskani Senior Member Joined Mar 11, 2016 Posts 138 Reaction score 146 Feb 26, 2026 #2 Nimeina sehemu hii Attachments 1000074235.jpg 465.4 KB · Views: 19
Lax JF-Expert Member Joined Feb 10, 2022 Posts 10,971 Reaction score 15,751 Feb 26, 2026 #3 Pitia pitia tausi portal mara kwa mara
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 175,907 Reaction score 193,930 Feb 26, 2026 #4 Kila la kheri... Cc: Mahondaw