Natafuta kiwanja cha kujenga Mwanza

Nkondo 2

Senior Member
Joined
Oct 10, 2016
Posts
182
Reaction score
148
Salam ndugu zangu, mimi ni mkazi wa Mwanza ninaomba kwa atakayekuwa na kiwanja kizuri chenye ukubwa wa kuanzia 30 kwa 40 ama squameter kuanzia 1000.
Maeneo yoyote kuanzia Nyegezi uelekeo wa hadi Usagara.
 
Nimeina sehemu hii
 

Attachments

  • 1000074235.jpg
    465.4 KB · Views: 5
Pitia pitia tausi portal mara kwa mara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…