Natafuta kioo cha samsung s9

Natafuta kioo cha samsung s9

noel oga

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2015
Posts
276
Reaction score
221
Mwenye kioo cha sasmsung s9 nicheki 0766205600.simu imevunjika kioo na ina taarifa za muhimu.p
 
Mwenye kioo cha sasmsung s9 nicheki 0766205600.simu imevunjika kioo na ina taarifa za muhimu.p
Nenda kariakoo , mtaa wa uhuru, opposite na shule ya Benjamin mkapa Kuna maduka ya simu kule. , ingia ndani ya maduka , usiwape wale mafundi wanaoka mezani nje . Bei ya kioo namba Moja ni 180,000 bei ya kioo namba mbili ni 90,000 hadi 100,000
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom