Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,845
- 4,775
Wakuu kuna ka pikipiki kangu ka honda 110 kiki imekufa, nimezunguka sana naambiwa spea zake ni shida kidogo hapa Simiyu.... naomba anayefahamu sehemu nitakayopata anisaidie.
😎😎😎😎😎Wakuu kuna ka pikipiki kangu ka honda 110 kiki imekufa, nimezunguka sana naambiwa spea zake ni shida kidogo hapa Simiyu.... naomba anayefahamu sehemu nitakayopata anisaidie.
Nimecheka sana. Nikadhani unatafuta kiki ya kuwa maarufu kumbe spea!Wakuu kuna ka pikipiki kangu ka honda 110 kiki imekufa, nimezunguka sana naambiwa spea zake ni shida kidogo hapa Simiyu.... naomba anayefahamu sehemu nitakayopata anisaidie.
Wakuu kuna ka pikipiki kangu ka honda 110 kiki imekufa, nimezunguka sana naambiwa spea zake ni shida kidogo hapa Simiyu.... naomba anayefahamu sehemu nitakayopata anisaidie.
Astaghifilullah!Hebu mtake radhi aisee.mkuu weka kijambio chako rehani ..!!
Ni spea mkuuNimecheka sana. Nikadhani unatafuta kiki ya kuwa maarufu kumbe spea!