Natafuta Kiki: Vijana wengi wa sasa wanajikuta wanatumbukia katika mkumbo wa kuuza sura

hivyo ndivyo inavyotokea kwa vijana wengi wa sasa ambao wanajikuta wanatumbukia katika mkumbo wa kuuza sura instagram kwa kujiita mamodel ili wapate "madem"...jiulize kijana mwisho wa hayo uyafanyayo sasa ni wapi...na yana manufaa gani? Je yalishamfaa yoyote...unaiga kutoka kwa nani? hii ni hata kwa nyinyi kina dada pia
Uwe unaweka na picha
 
Back
Top Bottom