Habari za mda huu wapendwa,
Mimi ni binti wa miaka 23. Elimu yangu ni kidato cha sita, niko hapa kutafuta ajira yoyote ile sichagui kibarua ilimradi kiwe na mazingira mzuri ya kazi (am hardworking na ntaipenda kazi yangu)
Napenda kuwasilisha ndugu zangu🙏Mkoa dar es salaam
Mimi ni binti wa miaka 23. Elimu yangu ni kidato cha sita, niko hapa kutafuta ajira yoyote ile sichagui kibarua ilimradi kiwe na mazingira mzuri ya kazi (am hardworking na ntaipenda kazi yangu)
Napenda kuwasilisha ndugu zangu🙏Mkoa dar es salaam