Natafuta kazi

Natafuta kazi

Nani uwezo wa kufanya kazi yoyote halali… Kuuza duka,kusimamia miradi,n.k.
Nishapost saana humu maombi ya kazi… lakini naishiwa kupewa pole na kutiwa moyo! Nimejieleza vya kutosha! Ila naona bahati haijaja kwangu…
Ndo naufungua mwaka sasa…
mimi ni ME… nipo dsm
Nipo tayari kufanya kazi eneo lolote.

nitafute 0768577654
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom