Nasakadoo
JF-Expert Member
- Sep 18, 2014
- 343
- 169
KWA YEYOTE ATAKAYEHUSIKA NA ATAKAYEGUSWA AU KUHITAJI.
Nina elimu ya sekondari.
Ninajua kusoma na kuandika Kiswahili na Kiingereza.
Nina leseni ya Udreva daraja A,B,D & E.
Nina umri wa Miaka 25 naelekea 26.
Jinsia yangu ni Me.
Nimewahi kusimamia Baa kubwa yenye Ukumbi wa Harusi,Guest House,Yenye kulaza magari,n.k.
Nimewahi kusimamia shell ya mafuta (ila haikuwa sheli kubwa,ni ndogo kiasi chake).
Pia mimi ni Dreva mzuri wa Bajaj na Magari(hasa hasa Auto,au Manual isiyozidi Gia 5)
Nimewahi kuuza Duka la vitu tofauti tofauti,.
Kwa sasa sina ajira ya kunifanya nijisikie nipo ajirani!
yaani nguvu ni kubwa saana kuliko ninachokipata.
So, naomba kwa yeyote anayehitaji mtu,au kama unamjua mtu au kampuni au taasisi fulani inayohitaji mtu wa kufanya kazi hizi
Kuuza Duka la aina yoyote,Dreva,msimamizi wa mradi fulani au Biashara fulani,n.k. tafadhali NIPO.
ninahitaji kazi,naamini tutaelewana kunjua moyo wako nione na mimi katika kuona kwako!
Nipo Dsm Mbezi ya Kimara.
Asante
Nina elimu ya sekondari.
Ninajua kusoma na kuandika Kiswahili na Kiingereza.
Nina leseni ya Udreva daraja A,B,D & E.
Nina umri wa Miaka 25 naelekea 26.
Jinsia yangu ni Me.
Nimewahi kusimamia Baa kubwa yenye Ukumbi wa Harusi,Guest House,Yenye kulaza magari,n.k.
Nimewahi kusimamia shell ya mafuta (ila haikuwa sheli kubwa,ni ndogo kiasi chake).
Pia mimi ni Dreva mzuri wa Bajaj na Magari(hasa hasa Auto,au Manual isiyozidi Gia 5)
Nimewahi kuuza Duka la vitu tofauti tofauti,.
Kwa sasa sina ajira ya kunifanya nijisikie nipo ajirani!
yaani nguvu ni kubwa saana kuliko ninachokipata.
So, naomba kwa yeyote anayehitaji mtu,au kama unamjua mtu au kampuni au taasisi fulani inayohitaji mtu wa kufanya kazi hizi
Kuuza Duka la aina yoyote,Dreva,msimamizi wa mradi fulani au Biashara fulani,n.k. tafadhali NIPO.
ninahitaji kazi,naamini tutaelewana kunjua moyo wako nione na mimi katika kuona kwako!
Nipo Dsm Mbezi ya Kimara.
Asante