Natafuta Kazi

Natafuta Kazi

Joined
Apr 26, 2014
Posts
10
Reaction score
0
Jamani ninatafuta kazi inayohusiana na mambo ya Tax niko tayari kufanya mahali popote, nina Bachelor of Science in Tax Management.
 
zaidi ya tra, pia jaribu ofisi za registered auditors. wengi huwa wanafanya kazi za tax consultancy kwa wateja wao.
 
patrick usiogope kuhusu kazi ya kodi yan ninaamin wewe ungepata elimu ya kutosha kuhusu kodi na ukawa unaona maendeleo ya kodi iyo nekuwa unainauwakika ungekuwa unachangia sana kodi
 
its a bachelor of SCIENCE in tax! Chuo gani umemaliza?
 
Elimu yako bado ndogo, huwezi pata kazi. Ushauri, rudi darasani.

muda mwingine unatakiwa kuwa makini na majibu yako, shahada ya kwanza bado unasema ni ndogo, ni kweli ni ndogo, lakini kwa kuanzia siyo mbaya na kuna watu hapo ndiyo wamegota hawafikirii kuongeza, hvy anavyokuja mtu kama huyu mchukulie kama ndugu yako wa damu huwezi kumpa jibu kama hilo na isitoshe wewe hujafika hapo.
 
jaribu kutafuta kwenye shipping lines wanachukua sana waliosomea taxation, mimi pia niko huko ila kuunganisha ni ngumu. ila ushauri wangu ni huo
 
muda mwingine unatakiwa kuwa makini na majibu yako, shahada ya kwanza bado unasema ni ndogo, ni kweli ni ndogo, lakini kwa kuanzia siyo mbaya na kuna watu hapo ndiyo wamegota hawafikirii kuongeza, hvy anavyokuja mtu kama huyu mchukulie kama ndugu yako wa damu huwezi kumpa jibu kama hilo na isitoshe wewe hujafika hapo.

Tatizo la watz wengi wanapenda kupewa mahope, nimempa facts, mim nina masters degree ya tax administation, nilimaliza cho miaka 4 iliyo pita ckupata kazi, nilishauriwa niongeze elimu, nilifiata ushauri huo. Leo mim ni lecturer ktk taasisi fulani hapa bongo, how does it sound? Nasisitiza arudi shule, unapo ongeza elimu ni kwamba unasogea kwenye daraja la wachache upo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom