Natafuta kazi

Natafuta kazi

cyc

New Member
Joined
Mar 9, 2014
Posts
3
Reaction score
0
Jamani mimi ni binti natafuta kazi yoyote hile hata sehemu ya kujitolea nina Degree ya Business Administration! Mwenye kunisaidia ni PM.

Asanteni

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Pesa ulizonunulia blackberry zingetosha kuwa mtaji na kuanza maisha. Lakini,atafutaye hupata.Vuta subira tu
 
Aaah jamani kwani blackberry shilling ngap?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Ocy petro

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Na mimi mhasibu nina uzoefu wa miaka 3 natafta kazi waungwana.Naomba mwenye kujua mahal wanataka mhasibu anijuze kwa pm,au email huzy2006@gmail.com au namba0713986635.Asante
 
Na mimi mhasibu nina uzoefu wa miaka 3 natafta kazi waungwana.Naomba mwenye kujua mahal wanataka mhasibu anijuze kwa pm,au email huzy2006@gmail.com au namba0713986635.Asante

Mkuu Doyi,pitia Maghorofa ya Bima Mikocheni B,geti la kati kuna tangazo la kazi kwa fani yako.Kama halijapita muda,kujaribu ni kupata.
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli wanaume wengi ni wabaguzi,wanapenda kusaidia wanawake kuliko wenaume wenzao.lkn wote manaotafuta kazi,inatakiwa mumuombe Mungu na kujitoa faham kutembea na bahasha mjini mkidrop CV ktk taasisi mbalimbali esp mabenki,kuna kazi zingine uwa hawaangalii mtu alisoma nn ili mrad uwe na shahada.
That is how i got my first job..fanyen hivyo..u will get ajira..
 
Kweli kabisa hum ndani wanasave wanawake tu ila sie ma boy wanakausha sijui kwa nini akipost jike msaada faster mie mwenyewe nilisha wai kuomba kazi zaidi ya mara tano but hakuna aliye nikohoa tubadilike wana jf sio vizuri kabisa #
 
I hate that. men we need to help each other, nimejaribu kuchunguza humu, gals are mostly considered. mh. Haya, si tupo.
 
hahahahaaaa kweli mwanamke sio mwenzako usishindane naye hata siku1,yaani nikifikiria ushirikiano nnaopewaga mimi nikiweka thread ya namna hii huwezi fananisha na ushirikiano aliopewa huyu binti.Ama kweli "Mwanaume atakula kwa jasho"
 
Yaani hapo angekuwa kidume kwanza angekosolewa kwa jinsi alivyoandika post yake,pili angekutana na comments za namna hii; "jiajiri","Tatizo mnasoma kwa kufata mkumbo,ungekuwa umesomea ualimu ungekuwa unakula mshahara tu sahivi","na comments nyingine za kukatisha tamaa
 
Kwamba wanawake ndo wenye faida than wanaume kwakuwa wana vitega uchumi wasaidieni tu hao hao then ma men tuta hustle tu mpaka mwisho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom