shaa of jay
Member
- Mar 10, 2013
- 5
- 0
Mimi ni mhitimu wa kidato cha sita...ninanomba wanajamii forum mnisaidie kupata kazi ya muda mfupi hadi niendapo chuo..ninaweza computer,naongea fluent English...
Wadau tusaidiane kwani kazi itansaidia kuwa busy na kuepuka vishawishi vya hapa na pale,pia kunpatia hela za kujikimu
Saidia mtoto wa Tanzania..
Namba yangu ni 0716485453...kwa wale watakao taka kunsaidia..
Wadau tusaidiane kwani kazi itansaidia kuwa busy na kuepuka vishawishi vya hapa na pale,pia kunpatia hela za kujikimu
Saidia mtoto wa Tanzania..
Namba yangu ni 0716485453...kwa wale watakao taka kunsaidia..