rabson john
Member
- Jan 22, 2020
- 27
- 10
Naitwa RABSON JOHN
Naishi DAR ER SALAAM MABIBO
NINA MIAKA 27
Mimi ni kijana ambae nina fani ya Udereva.
Pia nina uzoefu wa Sales & Marketing nimewahi fanya kazi na makampuni mengi hapa Dar er Salaam
Nina leseni ya udereva yenye madaraja haya.
A.A2.B.C1.C2.C3.D.E pia napenda kuwaomba kazi ya udereva kumuendesha mtu binafsi au magari yoyote ya kampuni nita fanya kazi kwa usahihi maana udereva upo ndani ya moyo wangu.
0627908218
Au kazi yoyote itakayo patikana nitaifanya kwa moyo mmoja
KAZI NITAFANYA POPOTE TANZANIA ATA NJE TANZANIA NIPO TAYARI
ASANTE
Naishi DAR ER SALAAM MABIBO
NINA MIAKA 27
Mimi ni kijana ambae nina fani ya Udereva.
Pia nina uzoefu wa Sales & Marketing nimewahi fanya kazi na makampuni mengi hapa Dar er Salaam
Nina leseni ya udereva yenye madaraja haya.
A.A2.B.C1.C2.C3.D.E pia napenda kuwaomba kazi ya udereva kumuendesha mtu binafsi au magari yoyote ya kampuni nita fanya kazi kwa usahihi maana udereva upo ndani ya moyo wangu.
0627908218
Au kazi yoyote itakayo patikana nitaifanya kwa moyo mmoja
KAZI NITAFANYA POPOTE TANZANIA ATA NJE TANZANIA NIPO TAYARI
ASANTE