Natafuta kazi

Natafuta kazi

mtu bati

Senior Member
Joined
Mar 29, 2021
Posts
117
Reaction score
129
Niko Arusha, namtafutia kazi mdogo wangu ya kiwandani Au hata kuuza duka.

Mimi ndo first born ila yeye kamaliza form 4.

Kama kaka mkubwa nafanya kinachohitajika.

Kakaa nyumba na malalamiko tu. najitahid nimtafutie Cha kifanya.

Nawasilisha.
 
Niko Arusha, namtafutia kazi mdogo wangu ya kiwandani Au hata kuuza duka. Mimi ndo first born ila yeye kamaliza form 4. Kama kaka mkubwa nafanya kinachohitajika. Kakaa nyumba na malalamiko tu. najitahid nimtafutie Cha kifanya.Nawasilisha.
Kazi za ndani Kama kupika, kufua, kupiga deki anaweza? Au ndo atazidi kulalamika? Halafu malez ya Arusha changamoto Sana mnaamin kazi ni kubebeshwa ndizi na watalii tu
 
Ningekusaidia ila ninapata wasiwasi sna kwa mazingira niliopo kwani %kubwa vijana waliopo wanakula mboga za majani mda mwingi.kutokana na mazingira ya kazi.usije ukanibebea bango dogo amebadilika.ofcoz mmi mwenyewe nimekuelewa jinsi ulivyo elezea nikajikuta automatically nimevaa Viatu vyako namna ya kuikomboa familia kiuchumi ukizingatia wewe ndo mkubwa.hapo nikajikuta miaka ya nyuma niko peke yangu nabeba beg naenda kutafuta maisha nilikuta vijana wadogo wameharibika sna kifikra hadi nikawa najiuliza ndo hivi,ila kujitambua ni kitu kizuri sna hadi leo huwa nikikutana nao ninakumbuka mbali sna alafu wamesha kuwa konkodi ata ukikutana nao utasikia fadha zamisha jua kwa leo.unawapa chochote wanafurahi ila mboga zamajani wanazijari sna huwa naumia sna ila ndo maisha.sasa Viatu vyako nimevivaa nikavuta picha utakapo mtaftia dogo akakuana na makundi alafu akawa hana ufahamu anachofanya hapo ndo shida.ombi langu kama unaweza kupata mtaji kidogo embu mwambie afanye chochote kwa kuanzia japo amani utakuwa nayo.japo kila sehemu pamehalibika ila kuna sehemu na sehemu.siyo kama,machimboni,kwa wavuvi,nk

Sent from my itel it1408 using JamiiForums mobile app
 
Ila watu!!! Mtu anamtafutia mdogo ake kazi ina maana hana mtaji wa kumpa na wala hawazingatii kazi ya utalii kama the only good job! Wako tayari afanye kazi hata ya kiwandani au ya dukani!
 
Ila watu!!! Mtu anamtafutia mdogo ake kazi ina maana hana mtaji wa kumpa na wala hawazingatii kazi ya utalii kama the only good job! Wako tayari afanye kazi hata ya kiwandani au ya dukani!
Kazi za ndani ndo zilizopo sokoni
 
Ningekusaidia ila ninapata wasiwasi sna kwa mazingira niliopo kwani %kubwa vijana waliopo wanakula mboga za majani mda mwingi.kutokana na mazingira ya kazi.usije ukanibebea bango dogo amebadilika.ofcoz mmi mwenyewe nimekuelewa jinsi ulivyo elezea nikajikuta automatically nimevaa Viatu vyako namna ya kuikomboa familia kiuchumi ukizingatia wewe ndo mkubwa.hapo nikajikuta miaka ya nyuma niko peke yangu nabeba beg naenda kutafuta maisha nilikuta vijana wadogo wameharibika sna kifikra hadi nikawa najiuliza ndo hivi,ila kujitambua ni kitu kizuri sna hadi leo huwa nikikutana nao ninakumbuka mbali sna alafu wamesha kuwa konkodi ata ukikutana nao utasikia fadha zamisha jua kwa leo.unawapa chochote wanafurahi ila mboga zamajani wanazijari sna huwa naumia sna ila ndo maisha.sasa Viatu vyako nimevivaa nikavuta picha utakapo mtaftia dogo akakuana na makundi alafu akawa hana ufahamu anachofanya hapo ndo shida.ombi langu kama unaweza kupata mtaji kidogo embu mwambie afanye chochote kwa kuanzia japo amani utakuwa nayo.japo kila sehemu pamehalibika ila kuna sehemu na sehemu.siyo kama,machimboni,kwa wavuvi,nk

Sent from my itel it1408 using JamiiForums mobile app
Umeamua kutoa stori ya maisha yako badala ya msaada
 
Back
Top Bottom