Msumkesala
New Member
- Jan 7, 2022
- 1
- 1
Nina taaluma na experience ya miaka mitatu katika Arts and design. Naweza kufanya Graphics design, Motion graphics, illustrations for books and nfts.
Pia naweza kushoot na kuedit picha na videos kwaajili ya matukio, makala na matangazo kati ya vingi ninavyoweza kuvifanya kwa ubora.
Elimu yangu ni B.A in Art and Design ya chuo kikuu Cha Dar es Salaam.
Simu 0654288418.
Pia naweza kushoot na kuedit picha na videos kwaajili ya matukio, makala na matangazo kati ya vingi ninavyoweza kuvifanya kwa ubora.
Elimu yangu ni B.A in Art and Design ya chuo kikuu Cha Dar es Salaam.
Simu 0654288418.