Laylabrian
Member
- May 23, 2019
- 18
- 7
Habari mimi ni mschana wa miaka25 naishi dar nilliishia kidato cha nne baadae nikasoma tour guiding natafuta kazi dar iwe ni ya duka au supermarket Niko tayari
Aiseeee kuolewa nako ni kazi vipi

Haya sawa kila lakher..Hapana ctaki kuolewa if I wanted to ningekua mke wa mtu sasa hiv but no nataka nifanye kazi nitimize malengo yangu![]()
Endelea kusubiri bahati
KaziBahati gani
Kazi
Uko Dar sehemu gani? Unaweza kuuza chips?Habari mimi ni mschana wa miaka25 naishi dar nilliishia kidato cha nne baadae nikasoma tour guiding natafuta kazi dar iwe ni ya duka au supermarket Niko tayari
miaka 25 hujaolewa unatauta kazi?Kaolewe wewe muda unaendaHabari mimi ni mschana wa miaka25 naishi dar nilliishia kidato cha nne baadae nikasoma tour guiding natafuta kazi dar iwe ni ya duka au supermarket Niko tayari
We jisemeshe tu hapoHapana ctaki kuolewa if I wanted to ningekua mke wa mtu sasa hiv but no nataka nifanye kazi nitimize malengo yangu![]()
miaka 25 hujaolewa unatauta kazi?Kaolewe wewe muda unaenda
Mtoto wa kike hakosagi kazi.... Mnashndwaga tu kufuata njia na kanuni sahihi za utafutaji kazi kwa mtoto wa kike.
te uzae watoto,umpikie mmeo,umtengee maji ya kuoga,na kulala nayeKuolewa co kila kitu okay . Hizo ni fikra potofu kila mwanamke bc aolewe then what ???
te uzae watoto,umpikie mmeo,umtengee maji ya kuoga,na kulala naye
1. Jitengeneze uwe na ushawishi kwa kila nyanja.Kanuni sahihi ni zipi???
1. Jitengeneze uwe na ushawishi kwa kila nyanja.
2. Jitengeneze uwe friend with benefit kwa rafiki zako unaohisi wanaweza wakawa na msaada kwako.
3. Jenga mazoea ya kutopenda saana kupokea kuliko kutoa.
4. Use nature kutengeneza man made phenomena.
5. Jitambue chanzo chako ni ubavu wa nani... Na mwenye ubavu unamfaidisha vipi.
6. Kuwa smart, social, down to earth and charming.
7. Kuwa mlipaji mzuri by any means kwa kila jema utakalofanyiwa.
8. Jivunie jinsia yako.
9. Itumie saana rule no. 8.
10. Izingatie saana maelezo ya rule no. 9.
Zipo nyingi saana... Ningekuwa mwandishi mzuur ningekuandikia makala.
Kwa iyo unabilieve in nani humu ndani ambaye unahisi atakuwa na msaada kwa mtu asiye na marafiki.Thanks ni nzur lkn I don’t believe in friends so I don’t have any friends
Kwa iyo unabilieve in nani humu ndani ambaye unahisi atakuwa na msaada kwa mtu asiye na marafiki.
Kutokuwa na marafiki tu ni tatizo kwa taratibu za kazi.
Tafsiri yake ni hii.
Hauko social.
Hauna ushirikiano...
Una matatizo
Hauaminiki .
Km umeshndwa kuwa na marafiki... Utawezaje kuwa na wateja.
U worth nothing km ndivyo.