Natafuta kazi

Natafuta kazi

Malica husna

Member
Joined
Jun 30, 2018
Posts
31
Reaction score
20
Naitwa husna nina umri wa miaka 21 elimu yangu ni certificate ya kidato cha nne nina ishi dar es salaam kitunda

Wakuu natafuta kazi nina uwezo wa kuuza duka na kusimamia biashara Ipasavyo
Ni muaminifu mwenye hofu ya mungu pia naweza leta mendeleo katika biashara yako naongea kiswahili na English

Natumai tutasaidiana wakuu

Asanteni
 
Ooh sawa, uzoefu kama huu usiwe unaacha kuambatasha pale unapotafuta kazi, waajiri wengi siku hizi wanataka kufahamu uzoefu wa mtu kabla hawajampa mkataba/ajira.

Mbali na hayo hakuna shughuli nyingine umewahi kufanya?
Nilikuwa nafanya kazi ya kusimamia duka lina husika na mbao miti, mabati, misumari, nk niseme ni duka kubwa sana ambalo nilikuwa nasimamia wafanyakazi watano mimi nilikuwa ndio manager I hope umenielewa mkuu
 
Ooh sawa, uzoefu kama huu usiwe unaacha kuambatasha pale unapotafuta kazi, waajiri wengi siku hizi wanataka kufahamu uzoefu wa mtu kabla hawajampa mkataba/ajira.

Mbali na hayo hakuna shughuli nyingine umewahi kufanya?
Nilikuwa nafanya kazi hiyo pia kuna dada mmoja alikuwa anauza mashela ya harusi hivyo alikuwa akitafuta wateja basi nilikuwa nikimtafutia wateja online then wakinunua ananilipa changu kama tulivyokuwa tukikubaliana mkuu
 
Nilikuwa nafanya kazi hiyo pia kuna dada mmoja alikuwa anauza mashela ya harusi hivyo alikuwa akitafuta wateja basi nilikuwa nikimtafutia wateja online then wakinunua ananilipa changu kama tulivyokuwa tukikubaliana mkuu
Kumbe una uzoefu hadi kwenye mauzo ya Online, nadhani umejipambanua vyema.
 
Kwa michango ya wachache niliyoiona na maelezo yako #Malica Husna, naomba nikushauri kuwa huu ni wakati mwafaka kwako kuwa na biashara zako hata ukianza na mtaji mdogo utafika. Wanaofanikiwa hawaanzi na mtaji mkubwa. Kazi za kuajiriwa zinalemaza sana. Na ni wachache sana waliowahi kufanikiwa kwa kuajiriwa. Tafakari
 
I like your confidence Husna. Your attitude too. You are awesome.
Pls PM for more talks. My PM is limited unless I log in through browser.
Thanks
 
Kwa michango ya wachache niliyoiona na maelezo yako #Malica Husna, naomba nikushauri kuwa huu ni wakati mwafaka kwako kuwa na biashara zako hata ukianza na mtaji mdogo utafika. Wanaofanikiwa hawaanzi na mtaji mkubwa. Kazi za kuajiriwa zinalemaza sana. Na ni wachache sana waliowahi kufanikiwa kwa kuajiriwa. Tafakari
Asante mkuu kwa ushauri wako nitaufanyia kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom